×

NAMNA YA KUFANYA UMRAH (Kiswahili)

Preparation: الشيخ عبد العزيز بن باز

Maelezo

Kijitabu "Namna ya kufanya Umrah" cha Sheikh, Abdulaziz bin Baaz, Mwenyezi Mungu amrehemu, kinaeleza ibada za Umrah kwa mtindo ulio wazi na unaoeleweka kwa urahisi; ili kitumike kama mwongozo wa kivitendo katika kusaidia Waislamu kutekeleza ibada zao za Hija au Umra kwa unyenyekevu na urahisi, kikiambatana na dua na nyiradi zilizopokelewa kutoka kwa Mtume, rehema na amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake, katika kila hatua.

Pakua kitabu

معلومات المادة باللغة العربية
Kuhusu sisi
A government agency responsible for supervising religious services in the Two Holy Mosques, providing a suitable environment of faith for worship and learning, and also aims to promote the religious message of the Two Holy Mosques globally