Lugha mbalimbali Lugha mbalimbali
Mada za Mwongozo
صفة العمرة
كتيب «صفة العمرة» للشيخ عبد العزيز بن باز رحمه الله يشرح مناسك العمرة بأسلوب واض...
ثلاثة الأصول وأدلتها
الكتاب يتناول المبادئ الأساسية التي يجب على المسلم تعلمها: معرفة الله، معرفة دين...
رسول الإسلام محمد ﷺ
كتاب "رسول الإسلام محمد ﷺ" يستعرض حياة النبي محمد صلى الله عليه وسلم من نسبه ونش...
Aya teule za Qur'ani
Enyi watu! Hakika Sisi tumewaumba kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mcha Mungu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua mno, Mwenye habari.
Hakika hii Qur-ani inaongoa kwenye yale yaliyonyooka kabisa, na inawabashiria Waumini ambao wanatenda mema ya kwamba wana malipo makubwa.




