×

Namna ya Swala ya Mtume ﷺ (Kiswahili)

Preparation: الشيخ عبد العزيز بن باز

Maelezo

Mheshimiwa, Sheikh, Abdulaziz bin Baaz - Mwenyezi Mungu amrehemu - ameeleza ndani ya kitabu cha "Namna ya Swala ya Mtume, rehema na amani ziwe juu yake", kwa ufupi namna ya swala ya Mtume, rehema na amani ziwe juu yake, kwa mbinu rahisi na njia nzuri kabisa, huku akitegemea ushahidi wa kimaandiko yaliyo sahihi; ili kiwe muongozo kwa Muislamu katika swala yake. Alibainisha ndani yake nguzo za swala na sunna zake na namna yake, kuanzia wudhu mpaka kutoa salamu ya kumaliza swala, akikusanya ndani yake kati ya ushahidi na upambanuzi, akilingania watu kumuiga kikamilifu Mtume, rehema na amani ziwe juu yake katika ibada hii kubwa zaidi.

Pakua kitabu

معلومات المادة باللغة العربية
Kuhusu sisi
A government agency responsible for supervising religious services in the Two Holy Mosques, providing a suitable environment of faith for worship and learning, and also aims to promote the religious message of the Two Holy Mosques globally